| Mv Bukoba |
|
|
SITAISAHAU MV BUKOBA ni kitabu kinachoelezea hali halisi ilivyokuwa ndani ya meli ya MV Bukoba kabla na baada ya ajali. Nyaisa Simango ni miongoni mwa abiria wachache tu walionusurika katika ajali hiyo. Anaelezea safari yake tangu mwanzo akitoka Dar es salaam kwa treni hadi Mwanza, na kutoka Mwanza kwenda Bukoba, na safari yake ya kurudi kutoka Bukoba na meli hiyo hadi ilipoishia kwa kupinduka na kuzama kiasi cha maili kumi hivi kabla ya kufika bandarini Mwanza.
|
Welcome to E & D Vision Publishing Website and share with us the joy of making books available to those who need and love books and reading E&D Vision Publishing is a development publisher.... read more>>
E&D Vision Publishing answers some of your questions about Publishing and all that is related to Publishing. Please get some of the answers Here and if you are not satisfied just contact us .
The Soma Book Café was launched on 6th June, 2008
with a sole purpose of promoting book reading in the Tanzania.
The book café which is the brainchild of E&D Vision Publishing Limited aims to ... read more
Home of Quality Books
Chimbuko la Vitabu Bora